PERSONAL SELF-AWARENESS (KUJITAMBUA BINAFSI)
Kujitambua ni jambo la muhimu sana katika maisha ya kila mwanadamu kumuwezesha kufikia mafanikio katika nyanja zote.Faida za kujitambua
Mtu anayejitambua:
1. Anaweza kuishi na watu wa aina mbalimbali kwa amani na furaha
2. Anaishi maisha yasiyo na majuto
3. Hawezi kumlaumu Mungu
4. Anayasimamia maono yake vilivyo na kujiamini
5. Anaweza kufanya mambo makubwa
6. Hapati shida kwenye mahusianoKUNA MAMBO MANNE (4)UNAPASWA KUYAANGALIA ILI UWEZE KUJITAMBUA KIKAMILIFU KWA KIFUPI TUNAVIITA UMAFUTIUsifuate mkumbo jitambue kwanza kwa kujiuliza
maswali yafuatayo:
a) Mimi ni nani?
b) Nimezaliwa au Nimeumbwa na Mungu kwa makusudi gani?
c) Nina nini?
d) Ninatoka wapi na ninaelekea wapi?
KIPIMO CHA KUJITAMBUA NI UMAFUTI
a) UWEZO
- Ni pamoja na
- Afya
yako,
- Elimu yako
- Uchumi uliyonao,
- Vipaji,
- Marafiki…..
b) MAPUNGUFU
- Tabia mbaya uliyonayo ,
- Kufuata mkumbo
- Kutokujiamini
- Ukosefu wa
kuwa mbunifu,
- kushindwa kufanya maamuzi sahihi,
- kukurupuka,
- kutokupenda
ushirikiano na wengine ….
c) FURSA
- Mahali ulipo,
- Rasilimali watu
waliokuzunguka(Ndugu ,jamaa na marafiki ) ,
- Vipaji ulivyo navyo,
- Fedha unazopata
- Mungu
d) TISHIO
- Ushindani kila kona mfano katika
mahusiano,elimu,ajira,biashara,Ibilisi mwenyewe hapendi
ufanikiwe.
- Maadui zako ni wengi .
- HITIMISHO: Kwa hiyo usijisahau kumbuka kwamba mungu ndiye
chanzo cha kila jambo jema hata maadui wakikujia Mungu akiwa upande wako
hawawezi kufanikiwa hata kidogo.Basi mtangulize yeye kwa kwenda msikitini au
kanisani bila ya kuvutwa na mtu yeyote. “Nje ya Mungu hakuna mafanikio yenye
faida .” SOMO HILI LIMEANDALIWA NA SAID JAMES 0717 820 980
No comments:
Post a Comment